OFA KWA AJILI YAKO

Uongozi wetu wa El - Shaddai Record's, Tuliopo Maghorofani kituo cha marolli karibu na kituo cha mafuta. tumeamua kutoa OFA maalumu ktk msimu huu wa Siku kuu za X-Mas na Mwaka Mpya kwa kila Recording kuwa nusu gharama ya kawaida.
Hili limethibitishwa na Mkurugenzi wetu mkuu, George David, ya kuwa kila Recording itakuwa nusu ya gharama ya kawaida kwa msimu huu na  baadae kidogo kwa nyimbo (audio), Matangazo na kila kitu ikiwemo kazi ambazo hazikumaliziwa kutoka ktk studio nyingine.
Moja kati ya Mandhari zetu ndani ya Studio.
Na huu ni moja kati ya ujumbe ulioandikwa na CEO wetu ktk FaceBook.. "NATOA OFFER KURECORD KWA NUSU GHARAMA KWA MEMBER YOYOTE WA EL SHADDAI RECORDZ AMBAYE ANAIMBA MUZIKI WA AINA YOYOTE KTK MSIMU HUU WA X - MASS NA MWAKA MPYA.KARIBUNI SANA"..
Mawasiliano yetu ni 0752 513 276, Email: elshaddairecordz@gmail.com. Wote tunakaribishwa..
 
ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU.

1 comment: