Keisha: Nimetumia zaidi ya 10. Mil. kufanya Video na Diamond "Nimechoka"

Ile picha iliyosambaa mtandaoni ikimuonyesha Diamond anajipaka poda ndani ya gari akiwa na msichana basi Script yake ilikuwa ya humu ndani, tizama video mpya ya Keisha akiwa na Diamonda track inaitwa nimechoka kupitia InfoGramme Blog.

Kuhusu Video hii Keysha amesema,  "Nimetumia zaidi ya shilingi za Tanzania Milioni 10 kuandaa video hii, hii ikiwa ni pamoja na malipo kwa AJ ambaye amesimamia kazi yote, video hii ilikuwa itoke muda mrefu lakini kutokana na msururu wa ratiba ya shoo za nje ya nchi nilijikuta mara kadhaa ninahirisha kushoot, nashukuru Mungu imekamilika na huu ni mwanzo wa mafanikio yangu katika mwaka huu wa 2013"

No comments:

Post a Comment