OUR PRODUCER: George David

George David
Hallow watanzania wa Mbeya the Green city, hii ni mpya  na ya kipekee.

Hii ndo ile studio kwa ajili ya Audio zenye Quality ya juu nyanda za juu kusini ikiwa chini ya mzoefu wa Music George David.
Tunapatikana maeneo ya Magorofani karibu na kituo cha mafuta nyuma ya magari makubwa (maroli)

No comments:

Post a Comment